Katika sehemu ya nne na ya mwisho ya ‘Kibubusa Cha Kanjo’, mwanahabari mpekuzi Mohammed Ali anafichua akaunti za siri ambako maafisa fisadi wa Baraza la Jiji la Nairobi huweka hongo wanazokusanya kutoka kwa wachuuzi. Rekodi za M-Pesa tulizonazo zaonyesha kiongozi wa maafisa hawa kwa jina Benson Akasi Ambani (Wasiwasi), amepokea shilingi milioni 18 kati ya mwaka 2013 na 2016.

Let the world know:

Africa Uncensored

View all posts

Add comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *