Katika historia ya Uchaguzi Mkuu nchini Kenya, idadi kubwa ya wapiga kura imekuwa ikizingatia vyama au mirengo ya kisiasa kuliko sifa za watafutao uongozi.   Hii leo kwenye makala ya #UpigajiKuraWangu, Godfrey Ouma anaeleza kwa nini hataegemea vyama vya siasa atakapokuwa akichagua viongozi tarehe 8 Agosti 2017.

Let the world know:

Africa Uncensored

View all posts

Add comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *