Matukio ya kisiasa ya hivi karibuni nchini Kenya, Uganda na Tanzania yanatoa taswira ya upinzani unaoendelea kuzidiwa nguvu na serikali. Lakini nini hasa kimesababisha hali kuwa hivi? Mwanahabari wa Africa Uncensored, Dennis Mbae, anatafuta majibu kwenye makala ifuatayo (bonyeza hapa).
Add comment